Mkuu muwe mnaleta vitu vyenye evidence sio kuwa na assumption. Mimi nimeyatumia hayo maziwa zaidi ya 3 carton consecutive kwa sababu maalum sijapata madhara yeyoye. Kuna mtoto wa sisy angu pia hutunia hayo maziwa na ana below 1year hajapata madhara yeyote
Wadau vitu vingine huwa ni ushindani wa kibiashara tu...