Maziwa ya BROOKSIDE yana sumu?

Mie nataka kuwa wakala wa hayo maziwa ya brookside, kwa mwenye uelewa tafadhali naomba maelekezo aidha ya contact zao, namaanisha Kenya. Msaada please!


Yana wakala registered na wapo arusha, haya maziwa ni salama na kwa mletamada wewe ni kengele tu na sauti yako inayokereketa
 
Hakuna maziwa nayaamini na nayatumia kama hayo. Na yale ya KCC. Acha uzushi mleta mada
 
na sisi tumezidi mpaka maziwa tuna import kutoka nje acha watuwekee sumu na libwata la kumpenda Kenyatta
 

Sisteri hakuna UHT milk (like azam, brookside nk) ambayo shelf life inafika zaidi ya mwaka. UHT milk inatakiwa shelf life yake isizidi miezi nane. Hapa nazungumzia maziwa fresh.

Kwa Ulaya ni miezi mitatu tu. Nimeshiriki kidogo kwenye study na workshop zinazohusu maziwa, ndani ya mikutano hata wataalam wetu wanathibitisha hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…