Mazishi yake yameweka historia baada ya maelfu ya waislamu kujitokeza kushiriki kwao, hali iliyopelekea mchanga wa kaburi lake kufukiwa kwa mikono badala ya kutumia mapauro na majembe kama ilivyozoeleka.
Masheikh kutoka Mikoa mbali mbali ya Tanzania wameshiriki mazishi hayo akiwemo sheikh Kishki.
HII NI ANGALIZO KWA NDUGU ZANGU WA MWANZA WA THAQAFA WALIOKUWA NA BIFU NA SHEIKH ILUNGA. MLIMDHARAU NA MKAMDHALILISHA ANGALIENI ALIVYOTUKUZWA NA ALLAH!!!!
Asante Allah kwa kumuwahisha huyu jamaa. Mkirimie wale mabikira 72 wenye macho kama vikombe ahangaike nao. Sisi huku bongo alishatuchosha kwa chuki zake
Asante Allah kwa kumuwahisha huyu jamaa. Mkirimie wale mabikira 72 wenye macho kama vikombe ahangaike nao. Sisi huku bongo alishatuchosha kwa chuki zake