Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,739
Hii nchi kuna muda unabaki kujiuliza kama bunge na spika wake mcharuko naye akielezwa anacheka bungeni utazani anachekeshwa na mpoki Dodoma.
Bungeni mmejaza wa wajinga na wanaofikiria kuingia bungeni tena,wataalamu mshawapiga Pini maana ukweli kweni ni kebei.
Mkitaka USD kuwepo Yale yote mnayotaka kufanya sababu Kila siku mfanikiwe kubali kwenye nchi hii ndiyo Yana waponza.
Mfano tu mzuri .serikali itaki ufanye soko la nje kisa kuogopa.
Uraia pacha sababu ya watu kuamka.
Mifumo ya pesa kama crypto.
Ufisadi na ubwanyenye wa watawala wanavo tunza USD kikinuka waondoke nchini.
Ujinga wa rasilimali kushindwa kuleta pesa za kigeni .
Bungeni mmejaza wa wajinga na wanaofikiria kuingia bungeni tena,wataalamu mshawapiga Pini maana ukweli kweni ni kebei.
Mkitaka USD kuwepo Yale yote mnayotaka kufanya sababu Kila siku mfanikiwe kubali kwenye nchi hii ndiyo Yana waponza.
Mfano tu mzuri .serikali itaki ufanye soko la nje kisa kuogopa.
Uraia pacha sababu ya watu kuamka.
Mifumo ya pesa kama crypto.
Ufisadi na ubwanyenye wa watawala wanavo tunza USD kikinuka waondoke nchini.
Ujinga wa rasilimali kushindwa kuleta pesa za kigeni .