GE2025 Mazinge: Tusubiri maandamano yatakuwepo siku moja tuu, ambapo itakuwa siku ya kiama

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Kuna tetesi tesi kuna watu wanataka kuandamana ili watu wasipige kura, nataka nikuhusieni kama kuna ndugu yake au kijana wake basi amwambie aache kwa sababu haifai, Tusubiri maandamano yatakuwepo siku moja tuu ambapo siku ya kihama tutakuwa na maandamano ya watu wote, yatawahusu Waislam, Wakristo tunaandamana kwenda kwa Mola wetu kila mtu akatoe alichokifanya duniani Ameeleza Mazinge

Your browser is not able to display this video.
 
Zwazwa lingine lililopagawa limeongea mashudu!!!!!
 
Kwani kuna nani mwingine anayetaka kuandamana ili watu wasipige kura zaidi ya nyumbu? Sema tu waziwazi kuwa NYUMBU wanataka kuandamana ili watu wasipige kura.
 
Mwambieni basi mama ukweli.
Kuteka na kuua sio sawa.
Mnasema kazi na UTU huo UTU ndo kuteka na na kuuana?
 
Sema ndugu zetu mnahitaji Reforms kwenye kuwapata hawa Masheikh.

Njaa mbaya sana.
 
Huyo Mazinge ni nani muwe mnataja na vyeo vyao jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…