Mazinge acha kutukimbia kwenye midahalo

Mazinge acha kutukimbia kwenye midahalo

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
18,250
Reaction score
26,640
Mazinge alikuwa anamponda Dr. Sule kwamba ni mchawi,sababu Sule ameamua kuwa wazi anasema anafuga majini na uislamu unaruhusi na yanamsaidia ,Mazinge alimuandama sana MWAMPOSA kwakutapeli watu kuuzia watu mafuta maji na mchanga

Mazinge naye sasa njaa imempiga ameungana na mganga Sharif firdaus wanauza dawa na kuwapaka wamama mafuta ya upako na kupiga hela.

Hoja zimemuhishia, hakika ni aibu kwa Mazinge kufanya mjadala na katoto chini ya miaka 20 huko Mbeya tena wakiwa wamekazunguka wakiwa na Shafii na Bakozi.

Mara nyingi tumewaita kwenye mdahalo ila wameishia kutoroka.

Anyway Sheikh Mwaipopo amejitokeza, kuanzia ijumaa hadi ijumapili saa 8:30 PM tutakuwa na mdahalo wa online tukiwa pamoja na Mwalimu Ndacha na Jeff massawe
 
Back
Top Bottom