Ni uoga tu tumwamini sana kwenye toyota
Hii hadi inafika bongo sh ngapi?Ile kasumba ya kuaminishwa Toyota ndiyo kila kitu inaanza kupotea ndiyo maana sikuhizi utaona Magari tofauti mengi tu.
TATIZO la brand nyingine tofaut na Toyota ni pale utapoamuwa kuuza utapata usumbufu Sana mpaka uliuze Hilo gari.
Kuna brand ya honda crossroad yameanza kuingia Kwa fujo Tanzania ni bonge moja la gari alafu CC za haya Magari ni ndogo Tu yaani Cc 1790 na 1990 View attachment 1419207View attachment 1419206
Ya KibabeIle kasumba ya kuaminishwa Toyota ndiyo kila kitu inaanza kupotea ndiyo maana sikuhizi utaona Magari tofauti mengi tu.
TATIZO la brand nyingine tofaut na Toyota ni pale utapoamuwa kuuza utapata usumbufu Sana mpaka uliuze Hilo gari.
Kuna brand ya honda crossroad yameanza kuingia Kwa fujo Tanzania ni bonge moja la gari alafu CC za haya Magari ni ndogo Tu yaani Cc 1790 na 1990 View attachment 1419207View attachment 1419206
Hii crossroad naikubali sana.Watumiaji wake wanaisemeaje?Ile kasumba ya kuaminishwa Toyota ndiyo kila kitu inaanza kupotea ndiyo maana sikuhizi utaona Magari tofauti mengi tu.
TATIZO la brand nyingine tofaut na Toyota ni pale utapoamuwa kuuza utapata usumbufu Sana mpaka uliuze Hilo gari.
Kuna brand ya honda crossroad yameanza kuingia Kwa fujo Tanzania ni bonge moja la gari alafu CC za haya Magari ni ndogo Tu yaani Cc 1790 na 1990 View attachment 1419207View attachment 1419206
Ukiingia Kwenye mitandao bei yake ni kawaida kama ilivyo Toyota harrier, RAV4 na foresta.Hii hadi inafika bongo sh ngapi?
Tunaishi kwa mazoea, online Kuna spare kibao genuine na Bei poaShida ni spare..
Hata Subaru ilikuwa haiguswi.
Sasa imeanza kuwa kama Toyota
Hata Mazda kuna kipindi itazoeleka utashangaa