Wakuu,
Nauza Mazda Demio ya Mwaka 2003,
CC 1300,
Mille-age 106,000
Petrol,
Milango 5,
5 seater,
Ishasajiliwa,
Imetoka Bandarini last week,
Bei 7.8Mil,
Picha nitaziweka soon,
Mwenye kuhitaji, PM please
Kaka mbona bei cheap namna hiyo?
Naihitai sana hiyo gari sema tu mshiko sina,
Niachie kwa mkopo basi halafu mwezi wa kumi nkupe 8.5, kuna dili nafukuzia lita-mature kipindi hicho