Heshima kwenu, Nauza mayai ya kuku wa kisasa tray moja Tshs elfu sita kwa bei ya jumla na Reja reja Tshs elfu 7 kwa tray, Kwa anaehitaji ni PM namba yako tuwasiliane, Angalizo makazi yangu ni Dar es salaam
Watu hatumii ayo siku hizi mpango mzima ni mayai ya kwere
Mkuu Jembe hayo mayai ya kwere yanapatikana wap kwa hapa Dar
Mkuu Jembe hayo mayai ya kwere yanapatikana wap kwa hapa Dar
Watu hatumii ayo siku hizi mpango mzima ni mayai ya kwere
Me naitaji kwa jumla bado unayoHeshima kwenu, Nauza mayai ya kuku wa kisasa tray moja Tshs elfu sita kwa bei ya jumla na Reja reja Tshs elfu 7 kwa tray, Kwa anaehitaji ni PM namba yako tuwasiliane, Angalizo makazi yangu ni Dar es salaam
Wakwere Mkuu wana mayai?
Wakwere Mkuu wana mayai?[/QUO
sms 0779420000Me naitaji kwa jumla bado unayo
Christa Abdul mayai yapo nauza Tshs 8000/= kwa tray moja.Kama unahitaji tuwasiliane