Mawazo yenu tafadhali.

Vua nguo .kakojoe. kaoge uwahi kulala. sheitwaani wewe ulishaenda kuomba viza wakakuomba kadi ya majibu ya vipimo vya umeme ? mwana izaya weye. Kama unao unaweza kabisa kwenda kutibiwa Nje.

Iwe muzee punguza ukali kwani jamaa anaweza akasepa.
 
Swali alilo uliza mtoa mada ni la msingi kwni siyo wote wamesafiri nje ya nchi, hivyo taratibu hawazijui.nivizuri anayefahamu akamfahamisha vizuri bila ya kumfanyia dhihaka, vilevile kuwa na ukimwi sidhani kama kwa sasa ni jambo la kumyooshea kidole mwenzio kwani familia nyingi sana ilo tatizo lipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…