pole sana kaka, ni mambo yanayowakuta wengi,na kwa hakika ni unforgettable memories... nilipokuwa o-level kulikuwa na dada aliyefiwa na BF wake kwa ajali.... she was unhappy kwa karibu miaka 5, na siku zote alikuwa alikia na kuvaa nguo nyeusi.... but baadae aliweza kumov on na ameolewa sasa... mungu atakutendea sawa nae!!
jaribu kutokuwa peke yako, spend time na marafiki...nenda kwenye michezo, na kama huchezi anza!! jichanganye na watu na tumia muda mwingi kutokuwa peke yako.... jipe muda pia usiingie kwenye mahusiano sasa!! hakika utapona na utarudi kama mwanzo....
lakini kubwa zaidi mwombe sana mola wako.... naamini hilo limetokea kwa sababu, naamini yeye anao mpango nawe... sali sana na mwambie mungu akuchagulie mchumba.. Pole sana!!