Binafsi napata tabu kuwaelewa watendaji wa serikali haswa mawaziri. Mmekuwa watu msio wakweli sijui hamjiamini au ni vipi. Mmekuwa hamtoi taarifa za kweli kwa umma katika mambo ya msingi haswa zile changamoto zinazowakabili wananchi.
Hapo nyuma kulikua na tatizo la chanjo mahospitalini magazeti yakaandika, mawaziri husika wakakanusha baadae ikabainika ni kweli mkaanza kukimbizana kupeleka hela. Baadaye tukaskia kipindupindu, mwanzo mkakanusha baadae waziri akaja na maelezo kuwa ma RC wanaficha taarifa kuogopa kutumbuliwa.
Haya hili la njaa mmekanusha wee sasa sauti zimeanza kuwa kubwa sasa tuwaeleweje au mnataka kumhujumu bosi wenu manake inaonekana hamumwambii ukweli wa hali halisi iliopo nchini katika mambo mengi.
Hapo nyuma kulikua na tatizo la chanjo mahospitalini magazeti yakaandika, mawaziri husika wakakanusha baadae ikabainika ni kweli mkaanza kukimbizana kupeleka hela. Baadaye tukaskia kipindupindu, mwanzo mkakanusha baadae waziri akaja na maelezo kuwa ma RC wanaficha taarifa kuogopa kutumbuliwa.
Haya hili la njaa mmekanusha wee sasa sauti zimeanza kuwa kubwa sasa tuwaeleweje au mnataka kumhujumu bosi wenu manake inaonekana hamumwambii ukweli wa hali halisi iliopo nchini katika mambo mengi.