Mawakala wa NEC watapiga kura?

Mawakala wa NEC watapiga kura?

Ngalikihinja

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2009
Posts
34,637
Reaction score
37,960
Habari wanajamvi....
NEC ina mawakala kadhaa kwenye vituo vya kupigia kura. Watatakiwa kufika vituoni kwao mapema asubuhi. Cha kusikitisha ni kwamba karibu wote, wamepangwa kwenye vituo ambavyo hawajaandikishwa hapo... Je watapiga kura..???

Polisi watakaolind vituo nao watapiga kura..??? Maana nao wamepangwa tofauti na walikojiandikishia...

Kwa idadi ya vituo (zaidi ya elfu 65) ina maana kama kuna wakala mmoja toka kila chama na polisi mmoja, then tutakuwa na watu wasiopungua 130,000 ambao hawatapiga kura na tunalijua....

Kwenye kituo kimoja kutakuwa na zaidi ya wakala mmoja na zaidi ya polisi mmoja... Tutajikuta tuna watu si chini ya laki tano (YAANI SAWA NA WAPIGA KURA WA ZANZIBAR WOTE), hawapigi kura kwa sababu tu ya utaratibu ambao ungeweza kurekebishwa...

Hapo ukijumlisha na wanachuo, nakwambia tuna watu wengi sana hawatapiga kura kwa sababu ya utaratibu mbaya...
TANZANIA ZAIDI YA TUNAVYOIJUWA....
 
Neck iweke bayana kila jambo bana na si kutuzuga sisi hapa watueleze kama hao mawakala watapiga kura
 
weka vijana wa waliokua JKT maana wengi wao walijiandikishia jeshni,wana chuo,wasimamizi wa uchaguzi ambao ni walimu
 
dumb ass hamuangalii televisheni na vipindi vya uchaguzi mnasubiri mje mlalamike na uongo wenu humu! stupid people lament while matured people speculate juzi kati hapa kawishe mkurugenzi wa maswala ya sheria nec alisema kwamba mawakala wote watapiga kura vituoni hapo hata kama hawakupangwa katika kituo husika that means in every general rule kuna exceptions sasa jitu linakurupuka eti bao lankono dumb ass u are thousand times em fanyeni ufatiti mabao ya mkono mnajipiga wenyewe kwa uduanzi
 
dumb ass hamuangalii televisheni na vipindi vya uchaguzi mnasubiri mje mlalamike na uongo wenu humu! stupid people lament while matured people speculate juzi kati hapa kawishe mkurugenzi wa maswala ya sheria nec alisema kwamba mawakala wote watapiga kura vituoni hapo hata kama hawakupangwa katika kituo husika that means in every general rule kuna exceptions sasa jitu linakurupuka eti bao lankono dumb ass u are thousand times em fanyeni ufatiti mabao ya mkono mnajipiga wenyewe kwa uduanzi
Dear chotti, hukuwa na sababu ya kujibu kwa lugha hiyo uliyotumia. Lugha nzuri tu ungemuelimisha vema. Anyway amepata jibu la swali lake. Kindly, am asking you not to use the same language to some one else....if you don't mind.
 
Dear chotti, hukuwa na sababu ya kujibu kwa lugha hiyo uliyotumia. Lugha nzuri tu ungemuelimisha vema. Anyway amepata jibu la swali lake. Kindly, am asking you not to use the same language to some one else....if you don't mind.

i understand ila kuna mda inafika watanzabia tunajizomea wenyewe! kila kitu ni malalamiko tu! more than twenty threads humu people are lamenting on stuffs ambazo in actual sense ni utashi wa mtu tu anatakiwa afuatilie kwa kina and not making unnecessary noise, i might have used a bad language but gladly ujumbr kaupata inatia hasira thou
 
dumb ass hamuangalii televisheni na vipindi vya uchaguzi mnasubiri mje mlalamike na uongo wenu humu! stupid people lament while matured people speculate juzi kati hapa kawishe mkurugenzi wa maswala ya sheria nec alisema kwamba mawakala wote watapiga kura vituoni hapo hata kama hawakupangwa katika kituo husika that means in every general rule kuna exceptions sasa jitu linakurupuka eti bao lankono dumb ass u are thousand times em fanyeni ufatiti mabao ya mkono mnajipiga wenyewe kwa uduanzi

1. Hukuwa na sababu ya kuto matusi yote hayo.. Unalalamikia watu hawangalii TV lakini sisi tunalalamikia watu wanaotukana...
2. Leo hii nimeongea na mawakala kadhaa, walichosema hawatapiga kura kwa sababu ya kupangwa kituo tofauti na walikojiandikishia..
3. Umejibu mawakala lakini hujasema lolote juu ya polisi na wanafunzi..
4. Katika matamshi yote ya tume sijawahi sikia wakisema mtu atapiga kura NJE ya mahala alipojiandikishia... Ungeweka clip au link inayosema hayo ningeamini ukisemacho... Lakini kwa maneno tu kama ulivyosema ni ngumu kuamini.... Hasa toka kwa mtu mwenye matusi kama hayo
4.1 https://www.jamiiforums.com/uchaguz...tuo-alichojiandikishia-tu-5.html#post14097755
4.2 https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania/945538-hili-la-kupiga-kura-ulipojiandikishia.html
4.3 https://www.jamiiforums.com/uchaguz...anzania-ilimradi-uwe-na-kadi-imekanushwa.html

By the way, lilikuwa ni swali, wewe unayejuwa majibu ungeweka tu majibu bila matusi ungeeleweka tu....

CC

MarianaTrench
 
i understand ila kuna mda inafika watanzabia tunajizomea wenyewe! kila kitu ni malalamiko tu! more than twenty threads humu people are lamenting on stuffs ambazo in actual sense ni utashi wa mtu tu anatakiwa afuatilie kwa kina and not making unnecessary noise, i might have used a bad language but gladly ujumbr kaupata inatia hasira thou
Okay, ila kwa Tanzania hapa kwetu wengi tunatofautiana uelewa na "standard" ya maisha. Ukikutana na swala kama hili unalikaushia tu. Ukimweleza vizuri utatengeneza furaha miongoni mwenu ila ukimjibu kwa lugha mbaya ni uadui tu ambao kwa namna moja haujengi my dear.
Nakutakia siku njema Chotti de Alba
 
Upeo oooo mtu anakurupuka na udhungu wa kuunga unga tuu elimisha watu wakwelewe kimbaa we
 
NEC ina mawakala kadhaa kwenye vituo vya kupigia kura. Watatakiwa kufika vituoni kwao mapema asubuhi. Cha kusikitisha ni kwamba karibu wote, wamepangwa kwenye vituo ambavyo hawajaandikishwa hapo... Je watapiga kura..??? ..

  1. SIFA ZA MSIMAMIZI WA KITUO/MSIMAMIZI MSAIDIZI WA KITUO

  1. Awe raia wa Tanzania.
  2. Awe mkazi wa Kata ambayo atafanyia kazi anayoomba.
  3. Asiwe Kiongozi/au mshabiki wa Chama cha Siasa.
  4. Awe mwadilifu na mtiifu.
  5. Awe na elimu ya Kidato cha nne au zaidi na anayeweza kusoma na kuandika vizuri.
  6. Awe na uwezo wa kuelewa vizuri Maelekezo ya Tume ya Wasimamizi wa Vituo vya Kupigia kura.
Kama una macho na akili, sina haja ya kufafanua zaidi
 
i understand ila kuna mda inafika watanzabia tunajizomea wenyewe! kila kitu ni malalamiko tu! more than twenty threads humu people are lamenting on stuffs ambazo in actual sense ni utashi wa mtu tu anatakiwa afuatilie kwa kina and not making unnecessary noise, i might have used a bad language but gladly ujumbr kaupata inatia hasira thou

acha kujiona kama wewe ndio unajua sanaaaa.sasa wewe unataka afuatilie wapi??
hapa JF kuna kila kitu hizo taarifa za habari na kwenye magazeti KWA asilimia kubwa huwa zinamwagwa hapa mapemaaaa jioni ndio unakutana nazo kwenye media.

kama ambavyo ww unejibu ndio kashapata majibu sasa ya swali lake na wasi wasi wake?
 
siwashangai sana watu jf mnalalama sana af mkiitwa lay men mnawamba while its the truth! tbc alihojiwa kawishe na akaelezea! its too much mmezidi kupiga kelele hamfanyi uchunguzi wala kufatilia vyombo vya habari mnasubiri jf! sasa jf ndo mnakutana na watu kama hawa waliotoa hii thread na wenzie wanamsupport na huyo alieandika kimba its not ur fault najua unakumbukia eneo ukilotokea
 
acha kujiona kama wewe ndio unajua sanaaaa.sasa wewe unataka afuatilie wapi??
hapa JF kuna kila kitu hizo taarifa za habari na kwenye magazeti KWA asilimia kubwa huwa zinamwagwa hapa mapemaaaa jioni ndio unakutana nazo kwenye media.

kama ambavyo ww unejibu ndio kashapata majibu sasa ya swali lake na wasi wasi wake?


Mbaya zaidi hata hilo jibu alilotoa sijaona popote lilipoandikwa.. Angetuwekea na ushahidi ingekuwa njema sana

CC
Chotti de Alba
 
Back
Top Bottom