Salumu waliy
Member
- Jul 25, 2013
- 8
- 3
Jamani ma fellow members,
Nina mpenzi wangu tulikuwa tunapendana sana yani na anajua kabisa kuwa yeye ndo my future wife Mungu akitujaalia uzima but kaja kubadilika ghafla.
Ni kweli nlimkwaza kidogo but ni mambo za kuongea tu na kuwekana sawa lakn hataki hali yeye ashawahi kunikwaza nikamsamehe na nikasahau kabisa yani serious naumia sana maana hataki kusikia chochote kutoka kwangu.
Nina mpenzi wangu tulikuwa tunapendana sana yani na anajua kabisa kuwa yeye ndo my future wife Mungu akitujaalia uzima but kaja kubadilika ghafla.
Ni kweli nlimkwaza kidogo but ni mambo za kuongea tu na kuwekana sawa lakn hataki hali yeye ashawahi kunikwaza nikamsamehe na nikasahau kabisa yani serious naumia sana maana hataki kusikia chochote kutoka kwangu.