Maumivu ya korodani na kiuno

Big Dy

JF-Expert Member
Dec 23, 2015
467
541
Habari wadau,
Recently nimekua nikipata maumivu makali sehem ya kiunon na korodani la upande wa kushoto. Linaweza kua tatizo gani maana nimeenda hospital nimepima uti majibu yakaja niko fit.
 
ushaoa mkuu au unae mpenzi?una muda gani toka mara ya mwisho kushiriki tendo la ndoa?
jibu kwanza hayo maswali kwa ufasaha bila kumumunya mdomo,kisha tutaendelea.
 
Habari wadau,
Recently nimekua nikipata maumivu makali sehem ya kiunon na korodani la upande wa kushoto. Linaweza kua tatizo gani maana nimeenda hospital nimepima uti majibu yakaja niko fit.
Ni Galili ya maradhi ya Ngiri ya mshipa yanataka kuja kwako nenda kamuone Daktari haraka iwezekanavyo. Na kama unapiga punyeto acha kupiga punyeto.
 
maumivu ya korodani na kiuno ni upungufu wa madini ya zinc ambayo yanapatikana kwenye vyakula kama dagaa, chainizi, na mbegu za maboga, na majani ya alfalfa ambayo mizizi yake inaenda chini ardhini miguu 20-30 na kua na hayo madini ya zinc ambayo ukitumia hayo majani kwenye chai inamaliza tatizo lako kabisa mkuu
 
MziziMkavu
Hata mi nimekua nikihis hivo ila sijui wapi nianze, unajua doctor yoyote ama hospital inayo deal na mambo haya. Thanks
Mkuu nenda hospitali kubwa iliyoko karibu na wewe unapoishi nenda kamuone Daktari muhusika wa maradhi ya wanaume. Kama upo mjini Dares-Salaam unayo pesa nenda hospitali ya Wahindi iliyopo Upanga inaitwa Hindul Mandal au nenda Hospitali ya rufaa Muhimbili ukitibiwa hauja pona nione mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako uguwa pole.
 
Back
Top Bottom