Maumivu ya kiuno nin tiba yake.

Maumivu ya kiuno nin tiba yake.

Aisatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
784
Reaction score
335
Wakuu habari ya siku,naombeni maana nimekuja kwenye jukwaa mahususi,niende moja kwa moja kujieleza,mim(Me)ninasumbuliwa na maumivu ya kiuno hasa wakat wa kuamka(muda wowote ktk maana ya nikilala hata zaid ya masaa 2 au 3 iwe usiku au mchana),hii imekuwa zaidi ya mwezi sasa,nilienda hospital nikajieleza akasema inaweza kuwa UTI nikapima lkn sikuwa nayo daktar akanipa dawa ya kusugu sehem hiyo na ya kutuliza maumivu lkn nimetumia lkn bado hakuna hata mabadiliko.Wakuu mwenye uelewa au tiba ya hii kitu naomba mnosaidie.shukran kwenu natanguliza.
 
Kama una mke muongee ili ufanye mazoezi ya kiuno mara mbili kilasiku kwa muda wa miezi mitatu, tatizo litaisha...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom