Habari za muda huu Wana JF
Ninasumbuliwa na maumivu ya kiuno muda mrefu hii nahisi nikutokana na kubeba mizigo mizigo ila Hadi kufikia Sasa sio kiuno tuu balii napingili za UTI wa mgongo maeneo ya shingo pamoja na mishipa kiujumla,nikifanya kazi kidogo natoa jasho sana kunamdaa najihisi uchovu hatakama sijafanya kazi. Nilienda kupima kutokana na hizo dalili nikaambiwa siumwii kabisa nipo vizuri naombeni ushauri wenu wadau hii Hali inantesa sana mwili hauna nguvu kama mwanzo naombeni msaada
🙏🙏
Ninasumbuliwa na maumivu ya kiuno muda mrefu hii nahisi nikutokana na kubeba mizigo mizigo ila Hadi kufikia Sasa sio kiuno tuu balii napingili za UTI wa mgongo maeneo ya shingo pamoja na mishipa kiujumla,nikifanya kazi kidogo natoa jasho sana kunamdaa najihisi uchovu hatakama sijafanya kazi. Nilienda kupima kutokana na hizo dalili nikaambiwa siumwii kabisa nipo vizuri naombeni ushauri wenu wadau hii Hali inantesa sana mwili hauna nguvu kama mwanzo naombeni msaada
🙏🙏