sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,162
Naomba msaada wa ushauri wakuu
Nina mwanangu wa kiume amemaliza drs la saba mwaka huu.
Analalamika maumivu ya kichwa upande wa kulia hasa juu kidogo ya jicho lake, ameanza pre form one lakini ameshindwa kuendelea, anaenda shule na baadae kichwa kinamuuma sana hasa nyakati za kuanzia saa tatu asbh hadi saa saba hivi baada ya hapo kinapoa. Ni zaidi ya wiki sasa, alikuwa na mafua mama yake akamfukiza na dawa ya kichina ndo kichwa kikaanza. Alienda hospitali kupima, hana maralia lakini akapewa Amocxilin capsules anaendelea kunywa, sometime anatumia paracetamol kupoza maumivu lakini maumivu kesho yanarudi tena. Sielewi nifanyeje, hadi nafikiri labda amepata cancer ya kichwa. Je naweza pata msaada kwa mwenye experience anisaidie kutatua tatizo permanently?
Natanguliza shukrani.
Nina mwanangu wa kiume amemaliza drs la saba mwaka huu.
Analalamika maumivu ya kichwa upande wa kulia hasa juu kidogo ya jicho lake, ameanza pre form one lakini ameshindwa kuendelea, anaenda shule na baadae kichwa kinamuuma sana hasa nyakati za kuanzia saa tatu asbh hadi saa saba hivi baada ya hapo kinapoa. Ni zaidi ya wiki sasa, alikuwa na mafua mama yake akamfukiza na dawa ya kichina ndo kichwa kikaanza. Alienda hospitali kupima, hana maralia lakini akapewa Amocxilin capsules anaendelea kunywa, sometime anatumia paracetamol kupoza maumivu lakini maumivu kesho yanarudi tena. Sielewi nifanyeje, hadi nafikiri labda amepata cancer ya kichwa. Je naweza pata msaada kwa mwenye experience anisaidie kutatua tatizo permanently?
Natanguliza shukrani.