Richiethegemini
Member
- Oct 31, 2017
- 64
- 32
Habarini wanajamvi,
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la maumivu upande wa kulia chini ya mbavu japo sio maumivu makali na tatizo hujitokeza wakati wa baridi, nikifanya kazi za kuinama muda mrefu, nikinywa vinywaji kama Juise za viwandani, soda na hata pombe.
Je, inaweze kuwa ni dalili za ugonjwa gani?
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la maumivu upande wa kulia chini ya mbavu japo sio maumivu makali na tatizo hujitokeza wakati wa baridi, nikifanya kazi za kuinama muda mrefu, nikinywa vinywaji kama Juise za viwandani, soda na hata pombe.
Je, inaweze kuwa ni dalili za ugonjwa gani?