S sehama Member Joined Dec 24, 2013 Posts 62 Reaction score 7 Jan 12, 2014 #1 Wakuu mwenye habari za uhakika atujuze. Maana nimesikia wamasai na wakulima wanauana huko kiteto.
M mayoya Member Joined Nov 3, 2011 Posts 34 Reaction score 2 Jan 12, 2014 #2 Inasemekana watu 6 wameshapoteza maisha. Mwenye habari kamili atujuze tafadhali.:llama:
S sehama Member Joined Dec 24, 2013 Posts 62 Reaction score 7 Jan 12, 2014 Thread starter #3 Kuna mtu analima huko yeye anasema ni zaidi ya ishirini na serikali imepiga kimya sijui tunaelekea wapi kwa style hii.
Kuna mtu analima huko yeye anasema ni zaidi ya ishirini na serikali imepiga kimya sijui tunaelekea wapi kwa style hii.
Inkoskaz JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 6,359 Reaction score 2,379 Jan 12, 2014 #4 sehama said: Kuna mtu analima huko yeye anasema ni zaidi ya ishirini na serikali imepiga kimya sijui tunaelekea wapi kwa style hii. Click to expand... Tuliwapa tahadhari ya maafa kutokea lakini serikali sikivu ikapiga kimya angalia post hii chini https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/577235-waziri-mkuu-katiza-likizo-uzime-mgogoro.html
sehama said: Kuna mtu analima huko yeye anasema ni zaidi ya ishirini na serikali imepiga kimya sijui tunaelekea wapi kwa style hii. Click to expand... Tuliwapa tahadhari ya maafa kutokea lakini serikali sikivu ikapiga kimya angalia post hii chini https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/577235-waziri-mkuu-katiza-likizo-uzime-mgogoro.html
L LUDUBULA Senior Member Joined Dec 7, 2013 Posts 137 Reaction score 31 Jan 13, 2014 #5 Yaani CCM basi tu, hiyo damu ya watu inayomwagika ovyo ovyo mtadaiwa tulieni tu
S sehama Member Joined Dec 24, 2013 Posts 62 Reaction score 7 Jan 13, 2014 Thread starter #6 Inkoskaz said: Tuliwapa tahadhari ya maafa kutokea lakini serikali sikivu ikapiga kimya angalia post hii chini https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/577235-waziri-mkuu-katiza-likizo-uzime-mgogoro.html Click to expand... Thank u Mr.
Inkoskaz said: Tuliwapa tahadhari ya maafa kutokea lakini serikali sikivu ikapiga kimya angalia post hii chini https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/577235-waziri-mkuu-katiza-likizo-uzime-mgogoro.html Click to expand... Thank u Mr.