Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Mkuu gezaalipewa Mtanzania akawa hana hela ya kufanya renovation! sasa sijui alaumiwe nani?
Mkuu Bucho, asilimia kubwa ya waajiriwa wataishia kuwa wakenya .. utakuja kuniambia...
alipewa Mtanzania akawa hana hela ya kufanya renovation! sasa sijui alaumiwe nani?
Napata ugumu wa majibu ya maswali kadhaa: kama carlton masters ni mwekezaji serious wa kutoka marekani inakuwaje aombe mkopo kwenye benki ya nchi maskini duniani badala ya kuja na ela toka kwao? Isije ikawa mambo ya richmond yanajirudia maana tuliambiwa kampuni ya marekani richmond ilikuja kuwekeza ktk umeme bado ikapewa mkopo na crdb kwa dhamana ya serikali ya tanzania. Isije ikawa carlton masters anatumiwa kama kivuli cha kumwakilishi mwenye hoteli wa kweli ambae ni mwanasiasa kigogo wa tanzania maana hapa ni shamba la bibi kijijini kila mtoto anafanya analotaka. Jambo lingine la kuzingatia ijulikane hata marekani kuna mafisadi pia kama bernard madolf, viongozi wa benki ya lehman brothers nk.