Bongo Lala
Member
- Apr 21, 2008
- 30
- 0
kuna kitu nimegundua kwamba matumizi ya bangi yameongezeka sana hapa nchini, tofauti na zamani ambapo vijana ndio walikua watumiaji wakubwa wa kilevi hicho sasa hata watu wazima wenye kazi za heshima wanatumia kilevi hicho. Japo vijana wengi hasa wanaojihusisha na bongo flava ndio wanaoweza kuwa wanaongoza kwa kula ndumu bado kuna maafisa jeshi, polisi, wanasiasa, waandishi wa habari, walimu nk ambao wanakula msuba
sasa swali ni kwamba matumizi hayo yana athari gani kwa perfomance katika kazi na je wataalam wa afya wanalizungumzia vipi? zamani tulikua tunaambiwa ukivuta bangi unakua kichaa lakini mbona kuna watu wamevuta kwa muda mrefu lakini hawana hata dalili za ukichaa.
nawakilisha!
sasa swali ni kwamba matumizi hayo yana athari gani kwa perfomance katika kazi na je wataalam wa afya wanalizungumzia vipi? zamani tulikua tunaambiwa ukivuta bangi unakua kichaa lakini mbona kuna watu wamevuta kwa muda mrefu lakini hawana hata dalili za ukichaa.
nawakilisha!