Kilindila Rojas
Member
- Sep 27, 2011
- 19
- 3
Jf doctor, naomba msaada wako kuhusu matumizi sahihi ya mu aloe vera, mana kuna sites fulani nimezisoma, baadhi zinadai kuwa ni vyema kuitumia aloe vera kwa matumizi ya nje (external use) kwa madai kuwa mu aloe vera unaathari ktk baadhi ya viungo vya ndani ya mwili. Wakati sites zingine zinadai kuwa ni vizuri sana kunywa aloe vera sababu inasaidia kutibu maradhi mengi. Naomba msaada wako ktk hili & nitafarijika kama nitapata na maelekezo sahihi kuhus maandalizi &matumizi! Nawasilisha.