Matukio

Elle Kisinga

Member
Joined
Jan 13, 2013
Posts
64
Reaction score
6

Watu wanabomolewa makazi yao wengine wanaambiwa wasibomolewe! Nchi ni moja rais ni mmoja, Dola inawatawala wanasiasa mpaka wananchi...sasa hata mbwa ambaye siyo binadamu anauwawa




Watanzania tunaenda wapi???
Ila [HASHTAG]#Mungu[/HASHTAG] atawalipa kwa hili.
 
Hii mada ingeelezea mtungo tu kuendana na picha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…