qt miaka ya nyuma ilikuwa ikitoka sambamba na matokeo.ya kidato cha nne sijui miaka ya sasa maana serikali yenu kilanasubuhibkuna badiliko lisilo na tija
Hata sasa ni hivyohivyo kwa sababu wanafanya na form fourqt miaka ya nyuma ilikuwa ikitoka sambamba na matokeo.ya kidato cha nne sijui miaka ya sasa maana serikali yenu kilanasubuhibkuna badiliko lisilo na tija
Hapana Miaka yote,qt yanatoka na form fourkwa kweli this time naona yametoka tofauti..form two kawaida yametoka qt bado..
ook nashukuru kwa kunifahamisha maana dogo anayasubiri kwa hamuHapana Miaka yote,qt yanatoka na form four
nadhani wanatumia normal syllabus ila mitihani hua inakua tofautiHivi hao QT wanasyllabus yao au wanatumia ileile inayitumiwa na government schools???
Yes unawezaNa mimi naomba niulize swali kupitia uzi huu, hivi unaweza kurudia mtihani wa kidato cha nne(kuresit) somo ambalo hukulifanya
mfano, ulifanya masomo saba yaani, kiswahili, english, mathematics, geography, history, civics na biology,
unaweza kuyarudia yote na ukaongeza chemistry na physics? ilihali haya mawili hukuyafanya awali?
msaada tafadhali?
ahsante mkuu, sasa me nilipiga masomo nane, niliongeza na bible knowladge naweza kulitoa pia?Yes unaweza
Unaweza mkuu .ahsante mkuu, sasa me nilipiga masomo nane, niliongeza na bible knowladge naweza kulitoa pia?
Unaweza sana tu kulitoa mkuu maana private candidates hawana continuous assessment (CA) ko somo lolote lile ulipendalo unaweza kulirudia. Pia kwa msaada zaidi jinsi ya kuyafauru masomo ambayo hukuyasoma njoo pm mkuu, hutojuta kamweahsante mkuu, sasa me nilipiga masomo nane, niliongeza na bible knowladge naweza kulitoa pia?
App ya jf imezingua hivyo natumia opera mini nashindwa kukupm hebu ni pm ww kwanza haraf tuendelee, au nichek hapa 0765555216Unaweza sana tu kulitoa mkuu maana private candidates hawana continuous assessment (CA) ko somo lolote lile ulipendalo unaweza kulirudia. Pia kwa msaada zaidi jinsi ya kuyafauru masomo ambayo hukuyasoma njoo pm mkuu, hutojuta kamwe
Ya form two yameshatoka kama wiki mbili zilizopitaook nashukuru kwa kunifahamisha maana dogo anayasubiri kwa hamu
je ya form two huwa yanatoka lini pls
me ni mhenga nishasahau
Yap inawezekana kabisaaNa mimi naomba niulize swali kupitia uzi huu, hivi unaweza kurudia mtihani wa kidato cha nne(kuresit) somo ambalo hukulifanya
mfano, ulifanya masomo saba yaani, kiswahili, english, mathematics, geography, history, civics na biology,
unaweza kuyarudia yote na ukaongeza chemistry na physics? ilihali haya mawili hukuyafanya awali?
msaada tafadhali?
NdioNa mimi naomba niulize swali kupitia uzi huu, hivi unaweza kurudia mtihani wa kidato cha nne(kuresit) somo ambalo hukulifanya
mfano, ulifanya masomo saba yaani, kiswahili, english, mathematics, geography, history, civics na biology,
unaweza kuyarudia yote na ukaongeza chemistry na physics? ilihali haya mawili hukuyafanya awali?
msaada tafadhali?