Tunaomba siku hizi mambo kiteknolojia wekeni news kwente websites. Wizara ya Elimu igeni mfano wa necta. Hivi hawa wa darasa ka sava 2013 shuke wakuzipangiwa walipost wapi?
Haya wakuu, nauliza matokeo ya NECTA ya watoto wetu wa kidato cha pili mwaka 2013, yanatoka lini? Naomba anayefahamu atupe majibu hapa, maana ninasubiri kwa hamu sana.