Mwana Ilala JF-Expert Member Joined Jan 29, 2013 Posts 1,286 Reaction score 488 Feb 26, 2016 #1 Naomba kueleweshwa. Wale walio andikiwa herufi *E badala ya Division, ina Maana gani? Thanks.
Geniustin JF-Expert Member Joined Mar 15, 2013 Posts 4,380 Reaction score 2,843 Feb 26, 2016 #2 Hao Hawajalipia Hela ya mtihaaaani..Matokeo yamezuiliwa.
Aniko JF-Expert Member Joined Jan 3, 2016 Posts 1,766 Reaction score 960 Feb 26, 2016 #3 Isiwe ndio matokeo yako hayo mkuu
Mwana Ilala JF-Expert Member Joined Jan 29, 2013 Posts 1,286 Reaction score 488 Feb 28, 2016 Thread starter #4 Mlandula Jr said: Isiwe ndio matokeo yako hayo mkuu Click to expand... No, mimi form 4 nilipiga 1998, na saivi nna miaka 16 Kazini. Jirani yangu kaniomba nimchekie sasa nkaona amewekewa *E. Nkamwambia kama alimaliza ada zote, akasema alikuWa hadaiwi chochote. Hata hela ya mtihani walilipa yote ofisini kwa Headmaster.
Mlandula Jr said: Isiwe ndio matokeo yako hayo mkuu Click to expand... No, mimi form 4 nilipiga 1998, na saivi nna miaka 16 Kazini. Jirani yangu kaniomba nimchekie sasa nkaona amewekewa *E. Nkamwambia kama alimaliza ada zote, akasema alikuWa hadaiwi chochote. Hata hela ya mtihani walilipa yote ofisini kwa Headmaster.
CHAPTER5 JF-Expert Member Joined Dec 29, 2015 Posts 556 Reaction score 506 Mar 2, 2016 #5 Mwana Ilala said: No, mimi form 4 nilipiga 1998, na saivi nna miaka 16 Kazini. Jirani yangu kaniomba nimchekie sasa nkaona amewekewa *E. Nkamwambia kama alimaliza ada zote, akasema alikuWa hadaiwi chochote. Hata hela ya mtihani walilipa yote ofisini kwa Headmaster. Click to expand... Aende shule akafahamishwe zaidi maana inawezekana mwalimu amekula hela yako ama hitilafu wakati anacompile taarifa za wanafunzi ikapelekea system kumuondoa kwenye orodha ya waliolipa ada.
Mwana Ilala said: No, mimi form 4 nilipiga 1998, na saivi nna miaka 16 Kazini. Jirani yangu kaniomba nimchekie sasa nkaona amewekewa *E. Nkamwambia kama alimaliza ada zote, akasema alikuWa hadaiwi chochote. Hata hela ya mtihani walilipa yote ofisini kwa Headmaster. Click to expand... Aende shule akafahamishwe zaidi maana inawezekana mwalimu amekula hela yako ama hitilafu wakati anacompile taarifa za wanafunzi ikapelekea system kumuondoa kwenye orodha ya waliolipa ada.
B baraka luoga Member Joined Jan 26, 2016 Posts 13 Reaction score 0 Mar 2, 2016 #6 samahnini waosoma clinical officer chuo ni lin
Dukebwoy JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 223 Reaction score 83 Mar 3, 2016 #7 baraka luoga said: samahnini waosoma clinical officer chuo ni lin Click to expand...
W Wisepips JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 230 Reaction score 21 Mar 4, 2016 #8 baraka luoga said: samahnini waosoma clinical officer chuo ni lin Click to expand... chuo lin kivp au mda wa kuapply unaulizi A cjakusoma
baraka luoga said: samahnini waosoma clinical officer chuo ni lin Click to expand... chuo lin kivp au mda wa kuapply unaulizi A cjakusoma