Hayo yanayotokea Dodoma ni ukosefu wa Elimu
aiseee dodoma nako sijue wagogo wale wameishwa nini na ccm?
Licha ya kupatikana matokeo ya kata hz chache na mshindi wake.
1. Kirumba (mwanza) - chadema.
2. Lizaboni (songea) - chadema.
3. Kiwira (mbeya) - chadema.
4. Vijibweni (Dar) - CCM
5. Chang'ombe (dodoma) - ccm.
6. Msambweni (tanga) - CUF.
TUNAOMBA TUJUE HUKO KULIKOBAKI.
Vjibweni ndo maana yake nini vile? Wazaramo bwana!
Vjibweni ndo maana yake nini vile? Wazaramo bwana!