Mkuu mandieta, siasa inahusika nini na matokeo ya form six ? Watu tutashindwa kufanya shughuli zetu za maendeleo maana hata ukikaa kijiweni kuanzia asubuhi mpaka jioni, ukifika nyumba familia yako ikakuomba matumizi, unasema CCM na CHADEMA wamesababisha sina pesa.
Jaman mi naona soltn n kukp kmya maana matokeo ya 4m 6 yamekua km mvua ya kiangaz ambapo wa2 wanaisubr inyeshe..BUT,guyz naomba mnijulshe hv n kwel zoez la kwenda JKT n lazm kw 4m 6 walio home kw sasa?