Matokeo halali ya match ya leo

Matokeo halali ya match ya leo

Mutuyakongo

Member
Joined
May 7, 2025
Posts
31
Reaction score
53
Wadau na wapenzi wa Simba Sport club,

Nipo hapa kwa unyenyekevu mkubwa kuwataarifu kuwa nmeoneshwa kwenye maono kuwa Simba leo atashinda goli 1 .,,match haitakua ngumu kama ilvyotarajiwa.

Match itakua na goli 1 tu.

Aman iwe nanyi..
 
Wadau na wapenzi wa Simba Sport club,

Nipo hapa kwa unyenyekevu mkubwa kuwataarifu kuwa nmeoneshwa kwenye maono kuwa Simba leo atashinda goli 1 .,,match haitakua ngumu kama ilvyotarajiwa.

Match itakua na goli 1 tu.

Aman iwe nanyi..
Kijana, amka kutoka kwenye usingizi wa mchana. Ni saa 8 kasoro sasa. Kajitahidi ukatafute mlo wa mchana. Huku niliko, jua linawaka balaa.
 
Wadau na wapenzi wa Simba Sport club,

Nipo hapa kwa unyenyekevu mkubwa kuwataarifu kuwa nmeoneshwa kwenye maono kuwa Simba leo atashinda goli 1 .,,match haitakua ngumu kama ilvyotarajiwa.

Match itakua na goli 1 tu.

Aman iwe nanyi..
DR Mambo Jambo zile numerology zako zinasemaje ?...🤣🤣🤣
 
Wadau na wapenzi wa Simba Sport club,

Nipo hapa kwa unyenyekevu mkubwa kuwataarifu kuwa nmeoneshwa kwenye maono kuwa Simba leo atashinda goli 1 .,,match haitakua ngumu kama ilvyotarajiwa.

Match itakua na goli 1 tu.

Aman iwe nanyi..
Jitahidi kula mlo kamili na uache kukwea mnazi
 
Mwanachama mwenzangu huu uzi wetu umekua mgumu mno,yani umekakamaa.

Alafu Utopolo wanaudumisha unatrend.
 
Back
Top Bottom