hivi hi serkal inataka itupele wap sis wasom? matokeo mpaka leo hawajatoa,posts cjui watatoa lin? result slip?,mda wa kujiandaa uko wap kwa form 4?,mtu mayb ni wa kigoma au bukoba af akapangwa lind au mtwara huo mda wa kujiandaa fasta fasta uko wap? JAMAN WATOE MATOKEO NA POST HARAKA KABLA YA WA6,WAT WAJIANDAEE,by pascal nashokigwa wa kibaha mailmoja