ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,605
- 2,729
Ndugu zangu hali ya kisiasa ilivyo nchini utadhani hakuna mkuu wa nchi, nimebahatika kuzungumza na Ester Bulaya kiukweli hali yake ni mbaya sana. Analalamika maumivu makali mgongoni na kifuani, anadai alikanyagwa na kufanyiwa dhihaka na kudhalilishwa na wanaume ambao walikua na hasira kama simba mwenye njaa.
Nimejikuta nakosa neno la faraja nimebaki nalia tu.
Tumwombe Mungu tuvuke salama maana ukatili unaoonekana sasa hivi utaatarisha usalama na mshikamano wa Taifa letu.
Mungu tunusuru na gonjwa hili hatari zaidi ya Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejikuta nakosa neno la faraja nimebaki nalia tu.
Tumwombe Mungu tuvuke salama maana ukatili unaoonekana sasa hivi utaatarisha usalama na mshikamano wa Taifa letu.
Mungu tunusuru na gonjwa hili hatari zaidi ya Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app