Matapeli hatari, chunga wasikudake


Sitaisahau hiyo siku. Nilishindwa hata kuhudumia wateja kwa sababu ya hilo dili. Rafiki yangu alinikuta naongea kiingereza na huyo mzungu feki hadi akashangaa na kuniuliza.............tangu lini unaongea kiingereza😀😀 njaa mbaya sana.
 
Hapo naona mwanga uko namba moja
 
hawa waabeshi si machalii ww Arusha? Kama ni hao juzi kati na wenyewe wamepigwa tu M kadhaa na kichapo cha haja
 
hawa waabeshi si machalii ww Arusha? Kama ni hao juzi kati na wenyewe wamepigwa tu M kadhaa na kichapo cha haja
 

Sawa kabisa. Kwanza kama ulivyosema:
1. Hakuna pesa inayopatikana kiurahisi, lakini na mimi naongeza:
2. Hakuna mtu ambaye hakufahamu halafu akupe UPENDO mkubwa kiasi kwamba akupe utajiri mkubwa kwa wewe kutoa hela kidogo, hicho kitu hakipo kabisa. Ukiona unarahisishiwa maisha tu, jua hapo kuna utapeli mkubwa!
 
Sasa umeficha namba zao basi nawe umo nao labda wamekudhulumu ndio unaanika
 
Watajuwa wanawapiga sana watu hasa vijana ambao hawajaenda shule wenye uwezo mdogo wa kupambanua mambo
 

Kuna waliokuwa wanatafuta dawa za kuhifadhi nafaka sijui waliishia wapi. Tena wakikupigia tayari wana data zako zote!
 
Aisee hata mm wameshawah kunifanyia huo mchezo ni baada ya kuwa na million 2 ... Ila niliwashtukia mapema
 
Hao wapo hasa wanakwambia uende maeneo ya river side, niliwashitukia nikamdaka mmoja nikampa kichapo cha kimya kimya pale ubungo, wananchi wakawa wanamuuliza vipi mzee mbona unapigwa akawa anawajibu niacheni tu.
 
Hii dar kuna matapeli wengi sana. Kuna wengine nakumbuka ilikuwa 2010 niliwapeleka new Africa nikawaambia wanywe wale then nitaenda kulipa, wakati wa mazungumzo. Kilichowapata sijui maana hawakunitaguta tena mamamae zao
 
Wengine wako hapa sinza makaburini JIRAN na na kanisa la kilokole.wanajiita sinza evangelical saccos
 
Hao wapo hasa wanakwambia uende maeneo ya river side, niliwashitukia nikamdaka mmoja nikampa kichapo cha kimya kimya pale ubungo, wananchi wakawa wanamuuliza vipi mzee mbona unapigwa akawa anawajibu niacheni tu.


Du! Mkuu kwa kweli umenichekesha sana yaani unapata kisago harafu wanakuja watu kukusaidia unasema niacheni tu lol!
 
Hao wapo hasa wanakwambia uende maeneo ya river side, niliwashitukia nikamdaka mmoja nikampa kichapo cha kimya kimya pale ubungo, wananchi wakawa wanamuuliza vipi mzee mbona unapigwa akawa anawajibu niacheni tu.

Asee mimi mnanichekesha tuuu...kwi kwi eti niacheni tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…