Kaka voda hawajaiga airtel the fact is vodacom South Africa ambao ndo walikuwa wanamiliki hisa nyingi imenunuliwa na vodaphone Uk na ndo maana wamebadili rangi kuwa nyekundu kama ya vodaphone Uk na walitaka kubadili mpaka jina waitwe vodaphone Tz But wamebaki na Vodacom Tz