Kingdom Finder
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 1,118
- 1,397
Nimesoma mitandaoni kwamba Mh Kapuya anasema wao ndiyo wenye nchi na wanaweza kufanya lolote wanalotaka. Kama hii ni kweli basi hakuna sheria kwa wakubwa. Naomba tu wajue watafanya yote lakini mwisho wa siku wataacha vyote. Nawakumbusha tu kwamba madhambi yao wanayofanya kwenye giza Mungu atayaweka peupe na watadhalilika pamoja na familia zao. Ingekuwa vizuri watanzania mambo ya uovu yanayofanywa na viongozi wawe wa siasa, wa dini tuwe serious katika kuwasaidia polisi maana naona wanagonga kisiki wanaishia kutubabaisha tu. Ni lini tutakuwa wa kweli na kuendesha nchi yetu kwa sheria itakayombana kila mtu?.