Matamanio ya wanaume

....Taifa haliwezi songa mbele likiwa na wawaza ngono saa zote..kwa wenzentu maumbile ya mwili hayana cha maana...utakubaliana nami wasichana wasio na makuuu/maringo ya hayou uloyataja hapo huwa wanafanikiwa sanaaaaaa hawababaishwi na mwanaume..
 
Ungezipa namba ingenisaidia sana,nmehesabu na yangu inaangukia namba nne.
 
Duh hiyo attachment ni zaidi ya mafuta. Wa namna hiyo sijalipia hotel room just to b with such a fat woman. Ni mzigo. Ukitoka hapo mabega na magoti vinauma
 
jumlisha vyote hivyo vinatengeneza matamanio,na huyo binti/mwanamkewpia akikutamani mnaata mapenzi
 
Wanaume wa kiafrika 'INYA' ndio mvuto mkubwa kwa wengi. Ila wale wazungu wa 'fikra' na waafrika kwa ngozi wana mambo mengi wanayaangalia. Mara muonekano, mara sauti, mara hips n.k
 

Kasoro hiyo red, ila hizo nyingine za juu nitawahitaji wote kwa nyakati tofauti.Kama ambavyo ninahitaji koti wakati wa baridi na pia nahitaji t shirt kwa kipindi cha joto.Ama ambavyo naweza kutumia safari Lager, na nyakati nyingine nikaamua kubadili ladha na kugonga Kinana baridiiiiiiiiiiii kabisa.
NB
Wanawake Wanene, wembamba,warefu,wafupi wote ni binadamu so sisi kama wanaume yatupasa tuwasaidie pindi wanapozidiwa maana sisi ndiyo kimbilio lao, tukiwadisi wanaenda kwa wanyama na wengine wanaamua kuliwazana wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…