Maswali ya utumishi wa mahakama

Maswali ya utumishi wa mahakama

Festor Sanga

Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
35
Reaction score
7
Poleni Na shughuli za kila siku!!! Msaada kwenye tuta wapendwa kama kuna Mtu ashawahi kufanya interview za utumishi wa mahakama au uelewa itakuwa ni vzuri akiachia katika huu uzi basic question za Hao bwana!! Nikipata utapata pia!!!
 
Poleni Na shughuli za kila siku!!! Msaada kwenye tuta wapendwa kama kuna Mtu ashawahi kufanya interview za utumishi wa mahakama au uelewa itakuwa ni vzuri akiachia katika huu uzi basic question za Hao bwana!! Nikipata utapata pia!!!

ukipata nitapataje pia?
 
"Tell us about yourself" yaani hili swali ndo lakwanza utakalo ulizwa
 
Back
Top Bottom