Maswali ya usahili TRA

Huu sasa ni mtihani tena wa masaa matatu.
 
Ndugu yang kama unafight for something usiogope kupoteza kitu,hivi unazani nafasi ya kazi ikiwa moja alafu wasailiwa wawili lazima mmoja wapo apoteze nauli,no way out,kuna watu huwa wanatamani kwenye usailiwa waitwe peke yao,ukitaka hivyo apply kazi alotangaza baba ako au mama ako,hakuna kada ambayo ikitangazwa msailiwa anakua mmoja,unaogopa kupoteza nauli unataka kazi fala sana,hats kwenye urais wagombea walikua zaid ya 30,unashangaa tax officer, kama huna godfather na unaogopa kupoteza nauli ya usaili jifunze uchawi,na hapo utapoteza muda
 
duuuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
shinyanga town SIYO KWA POVU HILO. WAVUMILIE MKUU HAWA GRADUATES WA MIAKA YA KARIBUNI BADO WABICHI KWENYE LABOUR MARKET

MIMI NILIPATA KAZI NAFASI ZILIKUWA 4 NA TULIITWA WATU KAMA 1800 HIVI, WRITTENI TULIPITA 12 NA PASSMARK ILIKUWA 84.5 NAKUMBUKA.

UKIKUTANA NA MASWALI UNAYOYAKUMBUKA VEMA UNACHANA, KINYUME CHAKE UNAANGUKIA PUA.

NAKUMBUKA NILIWAH KWENDA USAILI WA MWANZA NA NILIPANDA PIPA (SIYO KWA KUTAKA, WALINISTUKIZA) ILA NILIAMBULIA PATUPU NA TULIITWA 15 NAFASI 3

KWA HYO IDADI YA WATU ISIWAOGOPESHE, JIANDAENI LAKN MSICOMPLICATE MAMBO KWA 7BU HUWEZ SOMA MAMBO YA MIAKA MI3 KWA WIKI MOJA

MUHMU: USIOGOPE KUCHOMA NAULI MAANA HATA WAHENGA WALISEMA, MTAKA CHA UVUNGUNI SHARTI AINAME.

KILA LA HERI WADOGO.
 
asante san mkuu
 
mmmmh hapa lazma mtaftane hapo ndani aiseee
 
This is a written interview,hayo unayoyasema utakutana nayo oral.

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Kwa tetesi ni kwamba chuo cha mzumbe. ndio watasimamia mchakato wa ajira na ndo wameshinda tenda hiyo ya kusimamia na kusahihisha mitihani hadi hatua ya mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
acha kuwadanganya huo mchakato wote unasimamiwa na utumishi wenyewe pale kuna kila wataalam wana andaliwa kwa kila interview
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…