Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 9,579
- 13,121
Ndugu zangu,kwanza nawaasa watanzania wa vyama vyote kuilinda amani yetu kama tunu ya Taifa hili.
Pili,naomba tutafakari mambo yafuatayo:
Je,CCM ikishindwa kidemokrasia kabisa,ipo tayari kung'atuka?
Je,UKAWA wakishindwa kidemokrasia kabisa,wapo tayari kukubali matokeo?
Misingi ya maswali haya ni mwenendo wa uchaguzi,chuki iliyokithiri,shauku na mihemko ya pande zote na hofu.
Pili,naomba tutafakari mambo yafuatayo:
Je,CCM ikishindwa kidemokrasia kabisa,ipo tayari kung'atuka?
Je,UKAWA wakishindwa kidemokrasia kabisa,wapo tayari kukubali matokeo?
Misingi ya maswali haya ni mwenendo wa uchaguzi,chuki iliyokithiri,shauku na mihemko ya pande zote na hofu.