Maswali niliyoulizwa na mke wangu

1974hrs

JF-Expert Member
Oct 27, 2014
741
535
Nauleta uzi huu kuomba msaada kwenu wana jamvi.

Leo mke wangu kaniuliza maswali haya:

1.Aliyechora ramani ya dunia mwanzo yeye alisimama wapi?
2.Aliyeanzisha shule yeye alisoma wapi?

Najua humu kuna wataalamu wa kunisaidia majibu haya.
 
1.) Aliyechora ramani hakusimama sehemu moja, walitumia majahazi makubwa na kuizunguka dunia nzima, na walipita kwenye kingo za bahari huku wakirekodi mibonyeo na miibuko kwenye kingo za bahari, na kwa kifanya hivyo walipata a'a very sketchy' map of part s of the world. Ramani haikuwa precise na haikuwa ikionyesha sehemu za dunia ambazo hawakuwa wamezitembelea bado.

2.) Shule ni muunganiko wa taaluma mbali mbali, hivyo shule haikuanzishwa na mtu mmoja, na haikuwa rasmi. Watu wa mwanzo shule kwao ilikuwa ni kufundisha watoto wa kiume kuwinda kitoweo misituni na mbugani, shule ya watoto wa kike ilikuwa ni kufundishwa kupika, kukamua ng'ombe n.k, shule ziliendelea kuboreshwa taratibu hadi tukapata huu mfumo rasmi tulionao sasa.Mwambie mkeo "LEGEZA UBONGO WAKO!"
 
1.) Aliyechora ramani hakusimama sehemu moja, walitumia majahazi makubwa na kuizunguka dunia nzima, na walipita kwenye kingo za bahari huku wakirekodi mibonyeo na miibuko kwenye kingo za bahari, na kwa kifanya hivyo walipata a'a very sketchy' map of part s of the world. Ramani haikuwa precise na haikuwa ikionyesha sehemu za dunia ambazo hawakuwa wamezitembelea bado.

2.) Shule ni muunganiko wa taaluma mbali mbali, hivyo shule haikuanzishwa na mtu mmoja, na haikuwa rasmi. Watu wa mwanzo shule kwao ilikuwa ni kufundisha watoto wa kiume kuwinda kitoweo misituni na mbugani, shule ya watoto wa kike ilikuwa ni kufundishwa kupika, kukamua ng'ombe n.k, shule ziliendelea kuboreshwa taratibu hadi tukapata huu mfumo rasmi tulionao sasa.Mwambie mkeo "LEGEZA UBONGO WAKO!"
Mjue leo jumapili yangu mmefanya smooth kwa kweli maana kushinda nyumbani kunahitaji ujasiri
 
Ramani ya dunia imepitia historia mbalimbali.

Ramani ya miaka 1000 iliyopita si sawa na ramani ya sasa. Hii ni kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia.

Hata hivyo Ramani ya leo ipo hivi ilivyo kutokana na uwepo wa vyombo vya Satellite vilivyopo angani.

Suala la Shule lilianza tokea Dunia inaanza. Informal education ilianza tokea Kwa mtu wa Kwanza yaani Adamu.

Elimu hutolewa kulingana na mahitaji ya jamii husika kwa wakati husika.

Formal education ilianza kutolewa Kipindi cha Dola la Kimsri. Ambapo watu waliingia darasani hasa Watoto wa kifalme.

Walioanzisha Elimu walikuwa wanaElimu ya mazingira.
 
Satellite ndio msaada wakuchorea sio kichwani pia kufundisha kila Tr anakua anajua lake hivyo wakiungana kinatokea something
 
Kama mke anakuuliza maswali hayo wanao nao wafanye nn? Lima talaka moja huyo ashike adabu yake
 
Back
Top Bottom