gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,958
- 2,286
Habari, hebu naomba wenye uelewa na wale walopita UDSM na MZUMBE mnisaidie dukuduku langu
Natumai jina la professor DANIEL MKUDE mnaweza mkawa mnalifahamu, alikuwa ni padre pale UDSM pia ni professor CASS. Pia aliwahi kuwa chairman wana bodi ya mzumbe university. Sasa swali na dukuduku langu ni
1. kwa nini aliajiliwa katika taasisi za serikani na hakufanya kazi katika vyuo vya kanisa
2. je vipi kuhusum mshahara alokuwa anaupata?
3. nilitegeme angekuwa na mchango mkubwa TEC kwani ni very professional lakini hayuko huko
4. wanaojua je sasa yupo wapi? bado mzumbe au UDSM??
Natumai jina la professor DANIEL MKUDE mnaweza mkawa mnalifahamu, alikuwa ni padre pale UDSM pia ni professor CASS. Pia aliwahi kuwa chairman wana bodi ya mzumbe university. Sasa swali na dukuduku langu ni
1. kwa nini aliajiliwa katika taasisi za serikani na hakufanya kazi katika vyuo vya kanisa
2. je vipi kuhusum mshahara alokuwa anaupata?
3. nilitegeme angekuwa na mchango mkubwa TEC kwani ni very professional lakini hayuko huko
4. wanaojua je sasa yupo wapi? bado mzumbe au UDSM??
