Kuna scholarship 10 ambazo ni full funding nimekuwekea. Ingia Google search andika neno Mabumbe foundation ukishaifungua kwenye menu click students utazipata hizo scholarship ni uhakika.
mkuu siyo zote zinahitaji proposal kama una GPA nzuri na unaweza ukanishirikisha hapa nitashare na wewe baadhi ya vitu kama sample za cover letter, proposal, nk.
Mimi nataka nijaribu za pHD kwenye upande wa elimu mkuu. Naomba mchakato wake wa kwanza kabisa na kuendelea. Na ninaomba sample za cover letter nzuri,na mambo mengine muhimu kabisa.