S Sweetlol Senior Member Joined May 9, 2011 Posts 102 Reaction score 24 Jun 14, 2013 #1 Jaman wapendwa anaejua masoko ya mahindi Tanzania hususani Dar es salaam anisaidie saivi. Wapi wananunua na kwa bei gani saizi.
Jaman wapendwa anaejua masoko ya mahindi Tanzania hususani Dar es salaam anisaidie saivi. Wapi wananunua na kwa bei gani saizi.
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 36,476 Reaction score 45,049 Jun 14, 2013 #2 Sweetlol said: Jaman wapendwa anaejua masoko ya mahindi Tanzania hususani Dar es salaam anisaidie saivi. Wapi wananunua na kwa bei gani saizi. Click to expand... 500 hadi 530 per kg; market price; una tani ngapi?
Sweetlol said: Jaman wapendwa anaejua masoko ya mahindi Tanzania hususani Dar es salaam anisaidie saivi. Wapi wananunua na kwa bei gani saizi. Click to expand... 500 hadi 530 per kg; market price; una tani ngapi?