tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Watu watano wakiwemo Raia watatu wa Kigeni wa nchi za Kenya na Italy Watumishi wa Mashirika ya Kanisa Katoliki, wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa, baada ya gari dogo Toyota Land Cruiser namba T 852 DGP, mali ya Shule ya Sekondari ya Wasichana Bukumbi waliyokuwa wakisafiria, kugongana uso kwa uso na Lori namba T 541 DCH, lililokuwa na Tera lenye namba za usajili T 835 DCJ, mali ya Kampuni ya ujenzi ya Nyanza, tukio ambalo limetokea katika Kijiji cha Bukumbi wilayani Misungwi mkoani Mwanza.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza Wilbroad Mutafungwa, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza chanzo chake.
Soma pia: Idadi ya vifo katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Saba Saba vimefika 42
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza Wilbroad Mutafungwa, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza chanzo chake.
Soma pia: Idadi ya vifo katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Saba Saba vimefika 42