Masiku 10 bora zaidi duniani ndani ya mwaka

Masiku 10 bora zaidi duniani ndani ya mwaka

Random

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2017
Posts
791
Reaction score
743
Dhulhijja ni mwez wa 12 ktk mwaka wa kiiskam, alhamdulillah leo 23/ agusust/2017 milladiyya ni sawa na tarehe 2 dhulhijja 1438 hijiriyya (kwa kalenda ya kiislsm). Cku ya jana hadi kutimia cku kumi zijazo kwa kufuatana ni ktk masiku bora ambayo muislam akifanya wema au ibada yoyote cjema atalipwa malipo makubwa tofauti na miez mingine.

Sala za sunna na faradhi, kusoma qur an, kufunga, tasbih, tahmid, tahlil n.k ni katika baadhi ya matendo mema yaliyihimizwa kufanya ndan ya cku hiz kumi.

Kwa upande mwingine kufanya madhambi ktk masiku haya ni kuikosesha fursa njema nafsi yako kwa kua haipatikan fursa hii icpokua mara moja kwa mwaka

Siku ya tisa ni siku ya arafa na siku ya kumi ni cku ya idi kubwa au idi ya kuchinja

[HASHTAG]#Kilala[/HASHTAG] kheri#

et al
 
Dhulhijja ni mwez wa 12 milladiyya (kwa kalenda ya kiislam), alhamdulillah leo 23/ agusust/2017 ni sawa na tarehe 2 dhulhijja. Cku ya jana hadi kutimia cku kumi zijazo kwa kufuatana ni ktk masiku bora ambayo muislam akifanya wema au ibada yoyote cjema atalipwa malipo makubwa tofauti na miez mingine.

Sala za sunna na faradhi, kusoma qur an, kufunga, tasbih, tahmid, tahlil n.k ni katika baadhi ya matendo mema yaliyihimizwa kifanya ndan ya cku hiz kumi.

Kwa upande mwingine kufanya madhambi ktk masiku haya ni kuikosesha fursa njema nafsi yako kwa kua haipatikan fursa hii icpokua mara moja kwa mwaka

Siku ya tisa ni siku ya arafa na siku ya kumi ni cku ya idi kubwa au idi ya kuchinja

[HASHTAG]#Kila[/HASHTAG] la kheri#

et al
Dhul hijjah ni mwez kwa hesabu ya hijiria (baada ya hijri ya Mtume alayh ssalaamu wa salaam) na sio miladia.. miladia ni huu wa 2017
 
Back
Top Bottom