Na mwana wa mwanadamu ana hita mahali pa kuweka kichwa!
Eniwei, wakubwa..nahitaji kachumba cha kupanga Dar..ningependelea chenye bedroom,jiko, bafu/choo, na sebule..but all available otpions are welcome ili nione ntafanya uamuzi gani...
Plus nikijuzwa na diferent costs itakuwa nzuri zaidi.