Mashine za mbao zinauzwa

sedouf

Member
Joined
May 6, 2011
Posts
28
Reaction score
10
Habari zenu wanaukumbi
Nipo na Mashine za mbao.kwa sasa nipo na planer 24 Inches.na table saw 10 inches
Mashine zipo katika Hali nzuri.planer ni almost mpya.bei Yangu ni nzuri.tuwasiliane kwa namba 1(647) 706 3114. Ahsanteni
 

Attachments

  • 58770806.jpg
    25 KB · Views: 605
  • 58770805.jpg
    23.6 KB · Views: 509
  • 58770807.jpg
    21.8 KB · Views: 514
  • 58770811.jpg
    23.2 KB · Views: 483
samahani 'ikipendaroho' kwa kuchelewa kukujibu.mashine ya landa nakufikishia zanzibar kwa milioni 6 .Iwapo utahitajia msaada wa kutuma hadi dar ninao vijana wa uhakika wanaoweza kukufanyia kazi yako hio.
 
Uko wapi? Je kwa Mimi niliyemgeni kwenye biashara hiyo nahitaji mashine gani kwa kazi ya kuchana, kulanda, kuchonga nk. na ni bei gani??
 
Uko wapi? Je kwa Mimi niliyemgeni kwenye biashara hiyo nahitaji mashine gani kwa kazi ya kuchana, kulanda, kuchonga nk. na ni bei gani??
Habra Dokta.Mimi nipo Toronto,Canada lakini ni mwenyeji na mzaliwa wa Zanzibar.najishuhulisha na ununuwaji na utumaji wa bidhaa tofauti kati ya Toronto na Zanzibar.
Nikija kwenye suala lako Dokta unahitaji mashine kama tano ama sita kukamilisha workshop itakayokuwezesha kufanya kazi kisawasawa
unahitaji (Planer) Landa,unahitaji table saw (kuchana mbao),unahitajia (shaper) au spindle kutilia nakshi,urembo mbao.unahitaji drill kutobolea mbao na unahitaji sender(msasa) kusafishia mbao.hapo tayari una kiwanda
ukiwa mfuko mzuri unaweza kuongeza mashine kama bend saw, radial saw, router nk
iwapo utahitajia mashine zote tulizozizungumza naweza kukupatia tena kwa bei nzuri tu.
usisite kuwasiliana nami kwenye simu 1(647)7010749 au email sedouf@gmail.com
Kwa zanzibar biashara zangu nafanyia mitaa ya mlandege na kwa machina (mpendae)
shukran.
 
Habari zenu wana Jamii forum. napenda kuwajuilisha wale wanaohitajia mashine za mbao zenye ubora wasisite kuniona.Nina mzigo wa mashine nzuri na bei inayoridhisha.
Mashine tayari zishawasili Zanzibar na naweza kukufikishia scheme uitakayo kwa mujibu wa makubaliano.
Mashine zinatoka Toronto,Canada na kufikia Zanzibar.
Kwa mawasiliano usisite kuwasiliana nami kwa simu namba 1(647)7010749 na kwa email sedouf@gmail.com .Naambatanisha baadhi ya mashine .
Ahsanteni
 

Attachments

  • ayman-fine-furniture-897876.jpg
    56.4 KB · Views: 233
  • Combination-machine_20037927.jpeg
    43.8 KB · Views: 237
  • Combination-machine_20037929.jpeg
    55.7 KB · Views: 254
  • $_59 (3).JPG
    36.6 KB · Views: 254
  • 9cce403e-b939-4d5d-b510-23f7363744b1_fullsize.jpg
    17.3 KB · Views: 236
  • uyuy778u89.jpg
    48.8 KB · Views: 275
  • VID-20180426-WA0017.mp4
    VID-20180426-WA0017.mp4
    6 MB · Views: 66
Habari zenu wana Jamii forum. napenda kuwajuilisha wale wanaohitajia mashine za mbao zenye ubora wasisite kuniona.Nina mzigo wa mashine nzuri na bei inayoridhisha.
Mashine tayari zishawasili Zanzibar na naweza kukufikishia scheme uitakayo kwa mujibu wa makubaliano.
Mashine zinatoka Toronto,Canada na kufikia Zanzibar.
Kwa mawasiliano usisite kuwasiliana nami kwa situ gamba 1(647)7010749 na kwa email sedouf@gmail.com.Naambatanisha baadhi ya mashine .
Ahsanteni
 

Attachments

  • ayman-fine-furniture-897876.jpg
    56.4 KB · Views: 206
  • Combination-machine_20037927.jpeg
    43.8 KB · Views: 208
  • Combination-machine_20037929.jpeg
    55.7 KB · Views: 213
  • jbnjklkijh.jpg
    55.9 KB · Views: 206
  • $_59 (3).JPG
    36.6 KB · Views: 191
  • 9cce403e-b939-4d5d-b510-23f7363744b1_fullsize.jpg
    17.3 KB · Views: 200
  • VID-20180426-WA0017.mp4
    VID-20180426-WA0017.mp4
    6 MB · Views: 50
Hongera mkuu, ungetaja bei pia mkuu


Ahsante kwa kunifahamisha.nimefanya makosa kuweka post bila ya bei,nitajaribu kuedit nifanya hivyo kama inawezekana
Landa ni milioni 6.5
spindle ni milioni 6
combination machine (5-1) ni milioni 9
Maelewano daima yapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…