Jamani ninaomba kuuliza hivi kuna mashine za kufumia vitambaa vya makochi/nyuzi au masweta? Mimi nashida nayo napata tenda nyingi ila siwezi kufuma kwa wakati kama kuna mtu anajua aniambie na sehemu zinapopatikana. Asanteni
Hivi vitambaa vya uzi bado vinatumika? Kuna kipindi nilikuwa nafuma mtu akanikatisha tamaa akasema umeona wapi watu wanatandika hivyo vitambaa siku hizi? Nikakumbuka kweli Siku hizi nyumba nyingi sioni vitambaa vya uzi
Hivi vitambaa vya uzi bado vinatumika? Kuna kipindi nilikuwa nafuma mtu akanikatisha tamaa akasema umeona wapi watu wanatandika hivyo vitambaa siku hizi? Nikakumbuka kweli Siku hizi nyumba nyingi sioni vitambaa vya uzi
Kuna mtu kanipa leo namba ya simu ya mtu anayeuza machine hizo. Anaitwa Emma macherehani nilimpigia akanambia anayo na ni laki 9, yupp kariakoo. Mmhhh hela ndefu ngoja nipambane
Kuna mtu kanipa leo namba ya simu ya mtu anayeuza machine hizo. Anaitwa Emma macherehani nilimpigia akanambia anayo na ni laki 9, yupp kariakoo. Mmhhh hela ndefu ngoja nipambane