Mashine za juisi ya miwa

Mashine za juisi ya miwa

NAJIDAKIA STORE

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
261
Reaction score
126
sasa zipate mashine za juisi ya miwa imara na bora mtu mmoja anaweza kuendesha na hata mdada anaweza kuifanyia Kazi
mashine ina sifa ya kuchuja yenyewe juisi yako
mashine ni rola tatu huna haja ya kurudia rudia katika kukamua juisi yako,
yote ni kujali usafi pia mfumo Wa umeme ni huu Wa majumbani yaani single phase

Zipate Kwa million moja na Laki mbili tu lolote tupigie 0762612213 tupo Dar es salaam
IMG-20190323-WA0069.jpeg
IMG-20190323-WA0068.jpeg
 
Zinazotumia Genereta hamna?
sasa zipate mashine za juisi ya miwa imara na bora mtu mmoja anaweza kuendesha na hata mdada anaweza kuifanyia Kazi
mashine ina sifa ya kuchuja yenyewe juisi yako
mashine ni rola tatu huna haja ya kurudia rudia katika kukamua juisi yako,
yote ni kujali usafi pia mfumo Wa umeme ni huu Wa majumbani yaani single phase

Zipate Kwa million moja na Laki mbili tu lolote tupigie 0762612213 tupo Dar es salaam
View attachment 1104131View attachment 1104133
 
Jana tumesafirisha mashine moja kwenda mwanza karibuni Kwa huduma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom