Mashine ya kutengeneza popcorn inauzwa 350,000

Mashine ya kutengeneza popcorn inauzwa 350,000

Nsemwas Junior

Senior Member
Joined
Oct 23, 2009
Posts
173
Reaction score
60
Habari wana jf,

nauza mashine mpya ya kutengeneza popcorn au kwa jina lingine mabisi au bisi.ni mashine niliyotengenezewa na fundi maarufu wa kimara ambaye ndiyo katengenezea watu wengi pale mwenge.tangu niitengeneze sijaifanyia kazi na sasa nina uhitaji wa ghafla wa hela kwa hiyo sina jinsi bali kuiuza.tafadhali tuwasiliane naiuza kwa bei nafuu sana 350,000 tu.hizi za kutengeneza ni bora kuliko za kichina,za kichina zinakufakufa hovyo tofauti na hizi locally made.nicheki 0765 -796778 msg,call,pm na hata whatssup.

Bei tutazungumza.

Dennis
 

Attachments

  • IMG_20140611_162602.jpg
    IMG_20140611_162602.jpg
    314.4 KB · Views: 357
  • IMG_20140611_162619.jpg
    IMG_20140611_162619.jpg
    362.8 KB · Views: 426

Similar Discussions

Back
Top Bottom