Tunazo za aina hii...ni multifunctional animal feed processing mashine. Ina fanya kazi kama chaff cutter...kwaajili ya kukata majani ya mifugo, inatengeneza chakula cha kuku, nia inauwezo wa kusaga dona/chakula cha mbwa.
Inasaga wastan wa kilo 300 kwa saa
Inauwezo wa kutumia umeme au mafuta kwa wenye matumizi kwenye mashamba yasiyo na huduma ya umeme.
Ukiweka order, unakabidhiwa mashine ndani ya siku 14.
Bei ni 2,800,000/-.
Mawasiliano: 0755815174. Tupo boko, dar es salaam.